Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia ushindi wa 2-0 dhidi ya Deportivo Alaves, mabao ya Karim Benzema dakika ya 11 kwa penalti baada ya Ximo Navarro kumchezea rafu Ferland Mendy na Marco Asensio dakika ya 50 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stefano Jijini Madrid. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 80 na kuendelea kuongoza La Liga, ikiwazidi pointi nne mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russia is a threat to the UK and our sons and daughters must be ready to
fight, armed forces chief warns
-
Chief of defence staff Richard Knighton warned the situation is ‘more
dangerous than I have known during my career’
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment