Mbrazil Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili dakika za 26 na 83 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Sheffield Wednesday kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England uliofanyika Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la pili lilifungwa na Callum Hudson-Odoi na kwa ushindi huo The Blues wanakwenda Raundi ya Tano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russia is a threat to the UK and our sons and daughters must be ready to
fight, armed forces chief warns
-
Chief of defence staff Richard Knighton warned the situation is ‘more
dangerous than I have known during my career’
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment