Federico Chiesa akiwa ameshika mpira wake baada ya kupiga hat-trick kwa mabao yake ya dakika za saba, 18 na 74 katika ushindi wa 7-1 wa Fiorentina dhidi ya AS Roma kwenue mchezo wa Robo Fainali Coppa Italia usiku wa jana Uwanja wa Artemio Franchi mjini Firenze. Mabao mengine ya Fiorentina yalifungwa na Giovanni Simeone mawili dakika za 79 na 89, Luis Muriel dakika ya 33 na Marco Bennassi dakika ya 66, wakati la AS Roma iliyompoteza mchezaji wake, Edin Dzeko aliyetolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 72 tena baada ya kutokea benchi kuchukua nafasi ya Javier Pastore kipindi cha pili lilifungwa na Aleksandar Kolarov dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal and Wales star Aaron Ramsey reveals Mexican club terminated
HIS contract after mysterious disappearance of his beloved pet dog
-
The former Arsenal and Juventus midfielder, now 34, swapped the
Championship for Liga MX last summer in a move which was met by much
fanfare in the Latin c...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment