Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Arsenal dakika ya 14 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Bao la pili la Arsenal limefungwa na Laurent Koscielny dakika ya 39 na ushindi huo unaifanya Arsenal ifikishe pointi 44 baada ya kucheza mechi 23, ikiendelea kushika nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu, sasa ikizidiwa pointi tatu na Chelsea iliyo nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kroupi levels for Bournemouth in eight-goal thriller against Man Utd
-
Bournemouth's Junior Kroupi scores the equaliser in a dramatic 4-4 draw
against Manchester United at Old Trafford, after two quick-fire goals from
United's...
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment