Wachezaji wa Barcelona wakiwa wanyonge baada ya kuwaruhusu Celta Vigo kupata bao la kusawazisha katika mchezo wa La Liga uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Camp Nou. Mabao ya Barcelona yamefungwa na Lionel Messi dakika ya 22 na Luis Suarez dakika ya 62, wakati ya Celta Vigo yamefungwa na Iago Aspas dakika ya 20 na Maxi Gomez dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Drake bets $200,000 on Jake Paul to beat Anthony Joshua - with incredible
pay-out - and risks paddling him with his infamous 'curse'
-
Jake Paul doesn't need much help to make himself the unfancied option in
his Netflix mega-fight against Anthony Joshua - but Drake might have just
delivered.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment