Kipa wa Simba, Athumani Mambosasa (sasa marehemu) akiruka kudaka mpira dhidi ya mshambuliaji wa Yanga, Kitwana Manara katika fainali ya Klabu Bingwa ya Taifa Agosti 10, mwaka 1974 Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza. Katikati ni beki wa Simba, Jumanne Hassan Masimenti (marehemu pia) akiwa tayari kutoa msaada. Yanga ilitoka nyuma kwa bao la Adam Sabu dakika ya 16 na kushinda 2-1 kwa mabao ya Gibson Sembuli (marehemu pia) dakika ya 87 na Sunday Manara dakika ya 97 katika mchezo uliodumu kwa dakika 120.
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment