Mshambuliaji Alvaro Morata akiwa ameweka mpira tumboni ndani ya jezi kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Chelsea dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Morata alifanya hivyo kwa sababu mkewe ni mja mzito, lakini akaonyeshwa kadi ya njano na ataukosa mchezo ujao dhidi ya Everton PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment