Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akifanya mazoezi kikamilifu na timu yake jana baada ya kufanya peke yake mazoezi mepesi Jumatano na Alhamisi kutokana na maumivu aliyoyapata kwenye fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia wakiifunga 1-0 Gremio mjini Abu Dhabi wiki iliyopita. Ronaldo sasa anatarajiwa kucheza dhidi ya Barcelona leo jiioni Uwanja wa Santiago Bernabeu katika mchezo wa La Liga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bombshell new documentary lifts the lid on Jordon Hudson's age-gap romance
with Bill Belichick... from PR disasters to leaked phone calls
-
The romance, between a 24-year-old former cheerleader and the NFL's
greatest ever coach, has been the subject of explosive reports throughout
his tenure wi...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment