Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' akiwa ameinua Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam baada ya kuwasili kutoka Mwanza ambako jana walicheza mechi yao ya mwisho ya ligi hiyo na kufungwa 1-0 na wenyeji, Mbao FC
Wachezaji wa Yanga, Hassan Kessy na Deo Munishi 'Dida' wakipiga picha na mashabiki
Sherehe za ubingwa wa Yanga kuelekea makao makuu ya klabu, Jangwani
Wachezaji wakifurahia na mashabiki wao
Shabiki wa kike akiusindikiza msafara kwa bajaji
Wachezaji wa Yanga wakifurahia kwenye gari
Premier league and oversea interest in Chelsea star who wants out
-
Chelsea winger future points towards January exit as pathway
narrowsChelsea’s reputation as a factory for elite young talent has long
been both a strength ...
24 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment