Wachezaji wa Huddersfield Town wakishangilia na taji lao la mechi ya mchujo ya Championship kuwania kupanda Ligi Kuu England baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika 120 leo Uwanja wa Wembley, London. Liam Moore alipaisha mkwaju wake kabla ya Danny Ward kuokoa penalti ya Jordan Obita na pamoja na kipa Ali Al-Habsi kuokoa tuta la Michael Hefele, haikuzuia Huddersfield Town kurejea Ligi Kuu mwa mara ya kwanza tangu mwaka 1972 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie cricket star Cameron Green is SAVAGED for Ashes dismissal just hours
after making IPL history
-
Aussie all-rounder Cameron Green was sold for over $4million at the IPL
auction - but his next batting innings will have his new team nervous.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment