Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa Hispania kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Malaga leo Uwanja wa La Rosaleda mjini Malaga katika mchezo wa mwisho wa La Liga. Mabao ya Real Madrid ambayo wiki ijayo itamenyana na Juventus katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yamefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya pili na Karim Benzema dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Snicko cock-up is an embarrassment and almost as bad as a conspiracy from
Aussie operators - and you don't have to be a 'whingeing Pom' to realise
that, writes Wisden Editor LAWRENCE BOOTH
-
It's embarrassing that a series of this magnitude, with careers on the
line, should tolerate even the possibility of inaccuracy, when the
UltraEdge used in...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment