Mshambuliaji wa kimataifa wa England, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia hat-trick Tottenham katika ushindi wa 7-1 dhidi ya wenyeji Hull City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu England Uwanja wa KCOM hivyo kufanikiwa kumaliza mfungaji bora wa ligi kwa mabao yake 29. Kane alifunga dakika za 11, 13 na 72 wakati mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Dele Alli dakika ya 45 na ushei, Victor Wanyama dakika ya 69, Ben Davies dakika ya 84 na Toby Alderweireld dakika ya 87, wakati la kufutia machozi la Hull City limefungwa na Sam Clucas dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Booming new sport backed by Andy Murray and Rafael Nadal receives huge
boost in its bid to become an Olympic sport
-
The sport has been given a major boost in its attempts to become an Olympic
sport following the addition of a team-based competition backed by Andy
Murray ...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment