Kocha wa Barcelona, Luis Enrique akionyesha ishara jana Uwanja wa Jose Rico Perez mjini Alicante wakati wa mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Kombe la Mfalme Hispania wakilazimishwa sare ya 1-1 na Hercules ya Daraja la Pili, maarufu kama Segunda B. Bao Barca iliyocheza bila nyota wake Lionel Messi, Neymar na Luis Suarez lilifungwa na Carles Alena dakika ya 58 baada ya David Mainz kutangulia kuwafungia wenyeji dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mohamed Salah APOLOGISED to Liverpool team-mates after 'thrown under the
bus' rant, reveals Curtis Jones - as he throws his backing behind Egyptian
-
Mohamed Salah apologised to his Liverpool team-mates after his infamous
rant, Curtis Jones has revealed.
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment