Kipa namba moja wa Ufaransa, Hugo Lloris akiwa Kocha Mkuu, Mauricio Pochettino na kocha wa makipa, Toni Jimenez baada ya kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea Tottenham Hotspur hadi mwaka 2022 akilipwa Pauni 100,000 kwa wiki sawa na mkataba aliosaini mshambuliaji Harry Kane mapema mwezi huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McErlean and Armstrong secure M-Sport WRC drives
-
Motorsport Ireland Academy duo Josh McErlean and Jon Armstrong will drive
for M-Sport in the World Rally Championship in 2026.
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment