KIUNGO wa Simba SC, Clatous Chotta Chama amefungiwa mechi tatu na kutozwa faini ya Sh. Milioni 3 kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi beki wa Yanga, Nickson Kibabage katika mchezo wa baina ya timu hizo Aprili 20 Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Bodi ya Ligi imechukua zaidi kwa wachezaji na klabu kwa makosa mbalimbali ya kikanuni ambazo zimeainishwa kwenye taarifa yao kamili.
GONGA KUSOMA ZAIDI TAARIFA YA BODI YA LIGI
0 comments:
Post a Comment