• HABARI MPYA

    Saturday, February 06, 2021

    YANGA SC WAPOTEZA MECHI YA KWANZA TANGU MSIMU UANZE, WAPIGWA 1-0 NA AFRICAN SPORTS CHAMAZI


    VIGOGO, Yanga SC jana wamechapwa 1-0 na maswahiba zao Africans Sports ya Tanga inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza katika mchezo wa kirafiki bao pekee la Adam Uledi dakika ya 14 Uwanja wa Azam Complex Chamazi – hiyo ikiwa mechi ya kwanza kupoteza msimu huu.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC WAPOTEZA MECHI YA KWANZA TANGU MSIMU UANZE, WAPIGWA 1-0 NA AFRICAN SPORTS CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top