• HABARI MPYA

    Sunday, February 28, 2021

    LEWANDOWSKI APIGA MBILI BAYERN MUNICH YASHINDA 5-1


    MSHAMBULIAJI Robert Lewandowski jana amefunga mabao mawili, Bayern Munich ikiibuka na ushindi wa 5-1 dhidi ya FC Cologne katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich – na sasa wanaongoza kwa ponti mbili zaidi ya RB Leipzig (52-50) baada ya mechi 23 kwa wote.
    Mpoland huyo akifikisha mabao 28 – huku mabao mengine ya Bavarian yakifungwa na Serge Gnabry aliyetokea benchi mawili pia na lingine Eric Maxim Choupo-Moting na la kufutia machozi la Cologne lilifungwa na Ellyes Skhiri 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LEWANDOWSKI APIGA MBILI BAYERN MUNICH YASHINDA 5-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top