• HABARI MPYA

    Thursday, February 04, 2021

    POULSEN APIGA MBILI RB LEIPZIG YASHINDA 4-0 UJERUMANI


    MSHAMBULIAJI Mdenmark mwenye asili ya Tanzania, Yussuf Poulsen jana amefunga mabao mawili RB Leipzig ikiichapa Bochum 4-0 na kutinga Robo Fainali ya Kombe la Ujerumani, DFB-Pokal.
    Leipzig ambayo sasa itakutana na Borussia Dortmund – kwa pamoja hizo ni timu zinazopewa nafasi kubwa ya kubeba taji hilo baada ya Bayern Munich kutolewa Raundi ya Pili 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: POULSEN APIGA MBILI RB LEIPZIG YASHINDA 4-0 UJERUMANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top