• HABARI MPYA

    Monday, January 11, 2021

    RONALDO APIGA BONGE LA BAO JUVENTUS YASHINDA 3-1 SERIE A


    MABAO ya kipindi cha pili ya Danilo, Aaron Ramsey na Cristiano Ronaldo jana yaliipa Juventus ushindi wa 3-1 dhidi ya Sassuolo waliomaliza 10 kwenye mchezo wa Serie A jana.
    Pamoja na ushindi huo, Juventus wanabaki nafasi ya nne na pointi zao 33, wakizidiwa saba na vinara AC Milan 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO APIGA BONGE LA BAO JUVENTUS YASHINDA 3-1 SERIE A Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top