MABAO ya kipindi cha pili ya Danilo, Aaron Ramsey na Cristiano Ronaldo jana yaliipa Juventus ushindi wa 3-1 dhidi ya Sassuolo waliomaliza 10 kwenye mchezo wa Serie A jana.
Pamoja na ushindi huo, Juventus wanabaki nafasi ya nne na pointi zao 33, wakizidiwa saba na vinara AC Milan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment