Mwimbaji wa bendi ya Africans Stars 'Twanga Pepeta' Ige Moyaba akiimba katika onyesho la bendi hiyo jana ukumbi wa Sigara (TCC), Chang'ombe, Dar es Salaam usiku wa jana |
Waimbaji wa Twanga wakiimba jana |
Mpiga gitaa la solo maarufu, Adolph Mbinga akifanya yake jana |
Wakubwa wakipata burudani jana |
Wanachama wa CCM baada ya kupiga kura za Madiwani na Wabunge wa chama chao jana, walijimwaga TCC |
Hizi ni hisia au? Juma Mbizo jana hakuwa na furaha kabisa |
Enock Bwigane naye alikuwepo jana TCC |
Hassan Moshi naye alikuwepo jana TCC |
Zai Simba (kulia) na shoga yake Joan walikuwepo TCC |
Le Mutuz alikuwepo na kimwana huyu jana TCC |
0 comments:
Post a Comment