Tanzania, Taifa Stars imefungwa mabao 2-1 leo na Libya katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye viwanja vya hoteli ya The Green Park mjini Kartepe, Uturuki. Bao la Stars inayofundishwa na Charles Boniface Mkwasa lilifungwa mshambuliaji John Bocco 'Adebayor'. Stars imeweka kambi Uturuki kujiandaa na mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika dhidi ya Nigeria Septemba 5, mwaka huu mjini Dar es Salaam.
Chicago Bears fans turn on Caleb Williams for enjoying night out at hockey
game after NFL playoff loss
-
Williams and Ben Johnson's Bears were dumped out of playoff contention by
the Los Angeles Rams in a 20-17 overtime thriller at Soldier Field.
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment