Romelu Lukaku akiwa ameshika tuzo yake baada ya kukabidhiwa kufuatia kuingia kwenye orodha ya wachezaji 28 tu kuwahi kufikisha mabao 100 kwenye Ligi Kuu ya England. Lukaku alifunga bao lake la 100 mwishoni mwa msimu uliopita kwenye mechi na Swansea City na mabao hayo amefunga akiwa na klabu za Manchester United, Chelsea, Everton na West Brom PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Park cricketer's gruelling day with bat in hand to raise funds for Beyond
Blue
-
A local Victorian cricketer has turned heads after batting for 12 hours
straight to raise money for mental health charity Beyond Blue.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment