Sergio Aguero akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester City dakika ya 65 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao la kwanza limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man Utd angry as Morocco rejected Mazraoui request
-
Manchester United are angry with the Moroccan FA for rejecting their plea
for Noussair Mazraoui to play in Monday's draw with Bournemouth.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment