Mshambuliaji Mgabon, Pierre-Emerick Aubameyang akibinuka sarakasi kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la pili dakika ya 59 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Bao la kwanza lilifungwa na mshambuliaji Mfaransa, Alexandre Lacazette dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McErlean and Armstrong secure M-Sport WRC drives
-
Motorsport Ireland Academy duo Josh McErlean and Jon Armstrong will drive
for M-Sport in the World Rally Championship in 2026.
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment