Winga Muargentina, Angel Di Maria akimuinua mshambuliaji Mbrazil, Neymar kumpongeza baada ya kuifungia mabao mawili Paris Saint-Germain dakika za 22 na 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Nice kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa jana Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Bao lingine la PSG limefungwa na Christopher Nkunku dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment