Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (kulia) akizungumza na Wahariri wa vyombo vya Habari leo asubuhi katika hoteli ya SeaScape, Kunduchi, Dar es Salaam leo. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu, Wilfred Kidau
Rais Wallace Karia akichanganua mambo kwa umakini mbele ya Wahariri leo
Dua maalum ya kumuenzi aliyekuwa Mhariri wa Redio Uhuru, Limonga Justin kabla ya kuanza mkutano huo leo
Wahariri Zena Chande wa Habari Leo (kulia) na Grace Hoka wa Bingwa (kushoto) wakiandika hotuba ya Rais Wallace Karia
Mhariri wa Azam TV, Philip Cyprian akiwa kazini
Wahariri mbalimbali wa vyombo vya Habari wakiwa kazini leo
Snicko cock-up is an embarrassment and almost as bad as a conspiracy from
Aussie operators - and you don't have to be a 'whingeing Pom' to realise
that, writes Wisden Editor LAWRENCE BOOTH
-
It's embarrassing that a series of this magnitude, with careers on the
line, should tolerate even the possibility of inaccuracy, when the
UltraEdge used in...
42 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment