Mshambuliaji wa Manchester City, Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 12 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Everton Uwanja wa Goodison Park, Liverpool. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya nne na Raheem Sterling dakika ya 37, wakati la Everton limefungwa na Yannick Bolasie dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment