Gareth Bale akifunga bao la tatu kwa penalti dakika ya 51 na la pili kwake katika ushindi wa 3-0 wa Real Madrid dhidi ya wenyeji, Las Palmas baada ya kufunga la kwanza dakika ya 26 kwenye mchezo wa La Liga Uwana wa Gran Canaria mjini Las Palmas de Gran Canaria. Bao la pili la Real Madrid limefungwa na Karim Benzema dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment