Gareth Bale akifunga bao la tatu kwa penalti dakika ya 51 na la pili kwake katika ushindi wa 3-0 wa Real Madrid dhidi ya wenyeji, Las Palmas baada ya kufunga la kwanza dakika ya 26 kwenye mchezo wa La Liga Uwana wa Gran Canaria mjini Las Palmas de Gran Canaria. Bao la pili la Real Madrid limefungwa na Karim Benzema dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
All you need to know about Sports Personality of the Year 2025
-
BBC Sport has everything you need to know about BBC Sport's Personality of
The Year 2025 and how to vote.
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment