Beki Mbrazil, Dani Alves akishangilia baada ya kufunga bao lake la kwanza leo tangu ahamie Ligue 1 katika ushindi wa 2-1 wa Paris Saint-Germain dhidi ya wenyeji, NIce Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Alves alifunga dakika ya 82 hilo likiwa bao la pili baada ya Angel Di Maria kufunga la kwanza dakika ya 21 lililokuwa la kusawazisha baada ya Allan Sant-Maximin kuanza kuifungia NIce dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Park cricketer's gruelling day with bat in hand to raise funds for Beyond
Blue
-
A local Victorian cricketer has turned heads after batting for 12 hours
straight to raise money for mental health charity Beyond Blue.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment