Wapenzi wa klabu ya Simba wakiwa wamembeba mwenzao wa kike aliyepoteza fahamu jana wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbao FC Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 5-0
Kama anavyoonekana dada huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwa taabani
Hapa wanambeba wanampeleka kwenye zahanati ndogo ya Uwanja wa Taifa
Kwa umoja wa hali ya juu, wapenzi wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao jana
Mashabiki wa Simba wakiwa wenye raha jana kutokana na ushindi mnono wa 5-0
Man United and Bournemouth draw 4-4 in Premier League thriller
-
Manchester United drew with Bournemouth 4-4 in one of the best games in the
Premier League on Monday. United coach Ruben Amorim said before the match
that ...
36 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment