Mshambuliaji Romelu Lukaku (katikati) akiwa amewarukia wachezaji wenzake wa Manchester United kushangilia baada ya kufunga bao moja dakika ya 39 na kumsetia Jesse Lingard aliyefunga bao la pili dakika ya 75 wakitoka nyuma kwa bao 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya Chelsea iliyotangulia kwa bao la Willian dakika ya 32 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United and Bournemouth draw 4-4 in Premier League thriller
-
Manchester United drew with Bournemouth 4-4 in one of the best games in the
Premier League on Monday. United coach Ruben Amorim said before the match
that ...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment