Fred anayetakiwa na Manchester City akishangilia baada ya kuifungia Shakhtar Donetsk bao la ushindi dakika ya 71 kwa mpira wa adhabu, wakitoka nyuma na kuilaza Roma 2-1 katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Oblasny SportKomplex Metalist mjini Kharkiv, Uturuki. Roma walitangulia kwa bao la Cengiz Under dakika ya 41 kabla ya Facundo Ferreyra kusawazisha dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russia is a threat to the UK and our sons and daughters must be ready to
fight, armed forces chief warns
-
Chief of defence staff Richard Knighton warned the situation is ‘more
dangerous than I have known during my career’
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment