Kinda Josh Harrop akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Manchester United dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace Uwanja wa Old Trafford leo kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la United limefungwa na Paul Pogba dakika ya 19 na United imemaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2 charged with 2nd-degree murder in St. Patrick's Day slaying of Mexican
citizen in North End
-
Officers were called to Pritchard Avenue, between Charles and Salter
streets, where they found Diego Moscoza, 28, lying dead on the ground on
March 17, acc...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment