Mshambuliaji wa mkopo West Ham, Mnigeria Victor Moses akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu hiyo katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Manchester City usiku wa leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la West Ham limefungwa na Diafra Sakho wakati la Man City limefungwa na Kevin De Bruyne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie cricket star Cameron Green is SAVAGED for Ashes dismissal just hours
after making IPL history
-
Aussie all-rounder Cameron Green was sold for over $4million at the IPL
auction - but his next batting innings will have his new team nervous.
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment