Bondia Tyson Fury (kulia) akimchimba mikwara mpinzani wake, Wladimir Klitschko jana wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari kuelekea pambano lao la Oktoba 24, mwaka huu mjini Dusseldorf, Ujerumani. Klitschko atakuwa anatetea mataji yake ya dunia uzifo wa juu ya WBA, WBO na IBF PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dembele wins Fifa Best men's player of the year
-
Paris St-Germain and France forward Ousmane Dembele has been named the
men's player of the year at the Fifa Best awards.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment