Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akionekana mnyonge baada ya timu yake kufungwa na Celta Vigo mabao 4-1 jana usiku mjini Vigo katika mchezo wa La Liga. Mabao ya Celta Vigo yalifungwa na Iago Aspas aliyetemwa Liverpool mawili, Nolito na John Guidetti wakati bao pekee la Barca lilifungwa na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kroupi levels for Bournemouth in eight-goal thriller against Man Utd
-
Bournemouth's Junior Kroupi scores the equaliser in a dramatic 4-4 draw
against Manchester United at Old Trafford, after two quick-fire goals from
United's...
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment