• HABARI MPYA

    Tuesday, March 19, 2024

    UJENZI UWANJA MPYA WA KISASA WA KABUMBU ARUSHA MAMBO YAIVA


    KATIBU Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa (kushoto) akisaini Mkataba na Mkandarasi China Southwest Architectural Design and Research Institute Corp. Ltd kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja mpya wa kisasa Soka Jijini Arusha katika hafla iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
    Zoezi hilo limeshuhudiwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dk. Damas Ndumbaro, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongela na viongozi wengine wa Wizara hiyo. 
    GONGA KUTAZAMA PICHA ZAIDI
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UJENZI UWANJA MPYA WA KISASA WA KABUMBU ARUSHA MAMBO YAIVA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top