BAO la Baraka Mwalubunju dakika ya 67 limeipa Mbeya City ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani.
Kwa ushindi huo, Mbeya City inafikisha pointi 35 na kupanda nafasi ya saba, wakati Ruvu Shooting inabaki na pointi zake 28 nafasi ya 13 baada ya wote kucheza mechi 28 sasa.
Fernando Mendoza inspires Indiana to National Championship glory against
Miami with stunning touchdown in front of Tom Brady and Trump family
-
In front of Tom Brady and Donald Trump, Mendoza cemented his status as the
best quarterback in college football with an incredible piece of individual
play...
9 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment