JIJI la Dar es Salaam jana lilikuwa ni kijani na njano, wakati wa mapokezi ya mabingwa wa Ligi Kuu msimu huu, Yanga pale JNIA wakitokea Mbeya ambako juzi walikabidhiwa Kombe lao na msafara ulikwenda makao makuu ya klabu, Jangwani kupitia Msimbazi, kwenye klabu ya mahasimu wao, Simba na baadaye sherehe kwa mfadhili wao, GSM pale Samora kabla ya kumalizia Kidimbwi.
Chicago Bears fans turn on Caleb Williams for enjoying night out at hockey
game after NFL playoff loss
-
Williams and Ben Johnson's Bears were dumped out of playoff contention by
the Los Angeles Rams in a 20-17 overtime thriller at Soldier Field.
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment