JIJI la Dar es Salaam jana lilikuwa ni kijani na njano, wakati wa mapokezi ya mabingwa wa Ligi Kuu msimu huu, Yanga pale JNIA wakitokea Mbeya ambako juzi walikabidhiwa Kombe lao na msafara ulikwenda makao makuu ya klabu, Jangwani kupitia Msimbazi, kwenye klabu ya mahasimu wao, Simba na baadaye sherehe kwa mfadhili wao, GSM pale Samora kabla ya kumalizia Kidimbwi.
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment