• HABARI MPYA

    Thursday, February 04, 2021

    MAN CITY YAZIDI YAICHAPA BURNLEY 2-0 NA KUZIDI KUPAA KILELENI


    MABAO ya Gabriel Jesus dakika ya tatu na Raheem Sterling dakika ya 38 jana yameipa Manchester City ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor – na sasa inaongoza ligi kwa pointi tatu zaidi ya mahasimu wao, Man United (47-44)ambao pia wamecheza mechi zaidi (21,22)
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAZIDI YAICHAPA BURNLEY 2-0 NA KUZIDI KUPAA KILELENI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top