CHELSEA imepata ushindi wa kwanza chini ya kocha Thomas Tuchel baada ya kuichapa Burnley 2-0, mabao ya Cesar Azpilicueta dakika ya 40 na Marcos Alonso dakika ya 84 Uwanja wa Stamford Bridge, London.
Kwa ushindi huo, The Blues inafikisha pointi 33 baada ya kucheza mechi 21 na kusogea nafasi ya saba, ikiwa inazidiwa pointi 11 na vinara, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment