Wachezaji wa Wolfsburg wakisherehekea ushindi wa taji la Super la Ujerumani baada ya kuifunga Bayern Munich kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 1-1, bao la Bayern likifungwa na Arjen Robben na Wolfsburg wakisawazisha kupitia kwa Nicklas Bendtner. Penalti za washindi zilifungwa na Rodriguez, De Bruyne, Schurrle, Kruse na Bendtner wakati za BayernSCORED - Vidal, Bayern zilifungwa na Alonso, Robben, Lahm na Costa huku Alonso akikosa. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two Bayern stars: the top ever-presents in world football
-
These gentlemen cannot complain about a lack of playing time. The CIES
Football Observatory recently examined the ever-present players in world
football ov...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment