Wachezaji wa Wolfsburg wakisherehekea ushindi wa taji la Super la Ujerumani baada ya kuifunga Bayern Munich kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 1-1, bao la Bayern likifungwa na Arjen Robben na Wolfsburg wakisawazisha kupitia kwa Nicklas Bendtner. Penalti za washindi zilifungwa na Rodriguez, De Bruyne, Schurrle, Kruse na Bendtner wakati za BayernSCORED - Vidal, Bayern zilifungwa na Alonso, Robben, Lahm na Costa huku Alonso akikosa. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool AGREE deal with Feyenoord to make Arne Slot Reds' new manager, as
Dutch side accept compensation package for boss to replace Jurgen Klopp
-
Arne Slot is set to be named the new manager of Liverpool , after the club
agreed a compensation package with Feyenoord.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment