BAO la dakika ya sita la mshambuliaji wa Levante ya Hispania, Karl Edouard Blaise Etta Eyong limeipa Cameroon ushindi wa 1–0 dhidi ya Gabon katika mchezo wa Kundi F Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Adrar mjini Agadir nchini Morocco inayoendelea michuano hiyo.
EYONG AFUNGA BAO PEKEE CAMEROON YAICHAPA GABON 1-0
BAO la dakika ya sita la mshambuliaji wa Levante ya Hispania, Karl Edouard Blaise Etta Eyong limeipa Cameroon ushindi wa 1–0 dhidi ya Gabon katika mchezo wa Kundi F Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Adrar mjini Agadir nchini Morocco inayoendelea michuano hiyo.



.png)
0 comments:
Post a Comment