• HABARI MPYA

    Thursday, December 25, 2025

    EYONG AFUNGA BAO PEKEE CAMEROON YAICHAPA GABON 1-0


    BAO la dakika ya sita la mshambuliaji wa Levante ya Hispania, Karl Edouard Blaise Etta Eyong limeipa Cameroon ushindi wa 1–0 dhidi ya Gabon katika mchezo wa Kundi F Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Adrar mjini Agadir nchini Morocco inayoendelea michuano hiyo. 
    Next
    This is the most recent post.
    Older Post
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: EYONG AFUNGA BAO PEKEE CAMEROON YAICHAPA GABON 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top