Kipa wa pili wa Simba SC, Beno David Kakolanya akiwa ametulia nyumbani kwake, Mwanjelwa mkoani Mbeya kipindi hiki klabu yake imesitisha mazoezi kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa COVID19. Kakolanya amekaririwa akisema anafurahia maisha Simba SC kutokana na namna anavyopewa ushirikiano na viongozi wa klabu hiyo
McErlean and Armstrong secure M-Sport WRC drives
-
Motorsport Ireland Academy duo Josh McErlean and Jon Armstrong will drive
for M-Sport in the World Rally Championship in 2026.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment