Kipa wa Simba SC, Aishi Salum Manula (kushoto) alimkaribisha mshambuliaji wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda kucheza naye Games nyumbani kwake, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam katika kipindi hiki timu zao zimesitisha mazoezi kufuatia mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19. Manula na Chilunda wote wamewahi kucheza pamoja Azam FC baada ya kuibuliwa kwenye akademi ya klabu hiyo.
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment