Willian akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Chelsea dakika ya 51 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijin London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Mason Mount dakika ya 14, Pedro dakika ya 21 na Olivier Giroud dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment