Mshambuliaji Mnigeria, Odion Ighalo akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 28 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, LASK kwenye mchezo wa kwanza wa Hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Linzer Jijini Linz. Mabao mengine ya Manchester United yamefungwa na Dan James dakika ya 58, Juan Mata dakika ya 82, Mason Greenwood dakika ya 90 na Andreas Pereira dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russia is a threat to the UK and our sons and daughters must be ready to
fight, armed forces chief warns
-
Chief of defence staff Richard Knighton warned the situation is ‘more
dangerous than I have known during my career’
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment