Refa Kevin Friend akimuonyesha Nemanja Matic wa Manchester United kadi nyekundu dakika ya 76 baada ya kumuonyesha kadi ya njano ya pili kwa kumchezea rafu Ilkay Gundogan wa Manchester City kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali Kombe la Ligi England jana Uwanja wa Etihad. Manchester United ilishinda 1-0, bao pekee la Matic dakika ya 35, lakini ni Manchester City inayokwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya kushinda 3-1 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Old Trafford Januari 7 na itamenyana na Aston Villa Machi 1, Uwanja wa Wembley, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Legendary undefeated boxing star Terence Crawford makes stunning RETIREMENT
decision: 'Nothing else left to prove'
-
The American, a five-weight world champion, won all 42 fights of his
professional fights and cemented his place among the greats of his
generation with vi...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment