Beki wa umri wa miaka 22, Mcanada Fikayo Tomori akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 64 kufuatia Mitchy Batshuayi kufunga la kwanza dakika ya sita katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Hull City ambayo bao lake lilifungwa na Kamil Grosicki dakika ya 78 kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa KCOM PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bombshell new documentary lifts the lid on Jordon Hudson's age-gap romance
with Bill Belichick... from PR disasters to leaked phone calls
-
The romance, between a 24-year-old former cheerleader and the NFL's
greatest ever coach, has been the subject of explosive reports throughout
his tenure wi...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment