Nicolas Pepe wa Arsenal akienda chini baada ya kuangushwa na Jack O'Connell wa Sheffield United kwenye boksi, lakini refa Mike Dean hakutoa penalti timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Gabriel Martinelli alianza kuifungia Arsenal dakika ya 45 kabla ya John Fleck kuisawazishia Sheffield United dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment